Mkopo wetu wa Lekima sokoni unalenga Wajasiriamali wadogowadogo na wa kati wanaopatikana maeneo
ya sokoni
tu. Kiasi cha mkopo kinaanzia Tshs 100,000/- mpaka Tshs 1,000,000/- kutegemeana na mapato na
mzunguko wa
biashara yako. Afisa mkopo atakutembelea na kufanya tathmini ya biashara yako na kushauriana
dhidi ya kiwango
unachohitaji.
Vigezo na mahitaji ya mkopo wa Lekima sokoni
- Nakala ya kitambulisho cha kura,Taifa ya mkopaji.
- Nakala ya kitambulisho cha kura,taifa cha mtoa ridhaa na mdhamini mmoja ambaye ni
mfanyabishara
mwenza/jirani sokoni
- Picha mbili za passport size za rangi -Mkopaji
- Picha mbili za passport size za rangi -Mdhamini/mjasiriamali mwenza
- Picha mbili za passport size za rangi -Mtoa ridhaa
- Barua ya utambulisho/uthibitisho wa makaazi kutoka serikali za mitaa
- Maekekezo mengine utakayopewa