Kuna aina Sita za mikopo ambazo Lekima Microfinance inatoa, nayo ni
LEKIMA Microfinance Investment ltd ni kampuni iliyo sajili kwa sheria na kanuni za makampuni Tanzania na kupewa usajili namba 12653. Lengo kuu ni kutoa huduma ya mikopo kwa wafanyabiashara (wajasiriamali),Wafanyakazi wa sekta ya umma na binafsi na wakulima. Tumekua katika sekta hii tangu 2017 na tumesaidia mamia ya watanzania wanaostahili kupata mikopo na wenye mahitaji ya dharura za kifedha. Huduma zetu ni rahisi na bora kwa wahitaji.
Lekima Microfinance ni kampuni inayojitolea kutoa huduma za mikopo yenye riba nafuu nchini Tanzania. Kampuni hii imejitolea kuwahudumia watu na biashara ndogo ndogo kwa kutoa suluhisho la kifedha linalofaa.
Jinsi Lekima Microfinance Inavyofanya Kazi
Omba mkopo kupitia Lekima App au kwa kupiga simu kwa maelezo zaidi.
Maafisa wetu walio karibu na wewe watahakiki ombi lako la mkopo na kutembelea eneo lako la makazi na biashara.
Baada ya kufanikiwa kuthibitisha maombi, Lekima itaidhinisha mkopo na kutoa masharti rasmi kwa mteja
Baada ya kukamilika kwa taratibu zote, utapatiwa mkopo wako kwa njia ya simu au kupitia benki.
Mteja utalipa mkopo kadiri ya makubaliano yako na Lekima kama ilivyoainishwa katika mkataba wako.
Malipo yote ya marejesho yafanyike kwa nji ya kidijitali. (Epuka kutoa pesa taslimu kwa wafanyakazi/maafisa wa Lekima).
Lekima tutaendelea kuwa na mawasiliano nawe mteja wetu kukupatia taarifa za mara kwa mara, na kutoa msaada wowote utakaohitajika haraka iwezekanavyo..
Namba zifuatazo ni rasmi kwa mawasiliano na Lekima. +255 754 24 00 19
"I cannot express enough gratitude to Lekima Microfinance for believing in my business vision when others didn't. Their microfinance loan gave me the boost I needed to expand my small boutique. The process was seamless, and their team was not just a financial provider but a partner in my success journey. I highly recommend Lekima Microfinance to any entrepreneur looking for support and understanding in their financial endeavors
- Micky Mouse"As a farmer, accessing financial support is crucial for my seasonal needs. Lekima Microfinance has been my go-to partner for the past three years. Their agricultural microfinance solutions are flexible and tailored to the unique challenges of my industry. The team at Lekima is not just about loans; they genuinely care about the success of my farm. I appreciate their commitment to rural development and would recommend them to anyone in the agricultural sector.
shabani Saidi"Lekima Microfinance has been a game-changer for my small catering business. When traditional banks turned me away due to the size of my enterprise, Lekima embraced my vision. Their microfinance loan not only helped me purchase essential equipment but also provided valuable business advice. The team's personalized approach and commitment to supporting small businesses make Lekima Microfinance the ideal partner for anyone aspiring to turn their dreams into reality..
Ms. Sofia Mendez