Kuna aina Sita za mikopo ambazo
Lekima Microfinance inatoa, nayo ni
MKOPO WA WAJASIRIAMALI
Mkopo wetu wa Wajasiriamali unalenga Wajasiriamali wadogowadogo na wa
kati. Kiasi cha mkopo
kinaanzia Tshs 100,000/- mpaka Tshs 5,000,000/- kutegemeana na mapato na mzunguko wa
biashara yako.
MKOPO WA WAFANYAKAZI
Mkopo wetu wa Wafanyakazi unalenga Wafanyakazi wa sekta ya umma na
binafsi. Kiasi cha mkopo kinaanzia Tshs 100,000/- na kiwango cha juu kinategemea uwezo wa
mkopaji..
MKOPO WA CHAP CHAP
Mkopo wetu wa chap chap unalenga watu wenye uhitaji wa fedha za dharura
ambao hawahitaji kusubiria muda na wala hawahitaji kufuata mchakato mrefu wa ukopaji...
MKOPO WA LEKIMA SOKONI
Mkopo wetu wa Lekima sokoni unalenga Wajasiriamali wadogowadogo na wa
kati wanaopatikana maeneo ya sokoni tu. Kiasi cha mkopo kinaanzia Tshs 100,000/- mpaka Tshs
1,000,000/...
MKOPO WA LEKIMA BODA BODA
Mkopo wetu wa Lekima boda boda unalenga wasafirishaji (bodaboda) wenye
pikipiki za mkataba na wamiliki. Kiasi cha mkopo kinaanzia Tshs 100,000/- mpaka Tshs
1,000,000/...
MKOPO WA WAKULIMA
Mkopo wetu wa wakulima unalenga wakulima wajasiriamali ambao wana
uhitaji wa kifedha na wamekwama katika hatua za kilimo. Kiasi cha mkopo kinaanzia Tshs
100,000/- mpaka
Tshs 1,000,000/...