Mkopo wetu wa Wafanyakazi unalenga Wafanyakazi wa sekta ya umma na binafsi. Kiasi cha mkopo
kinaanzia Tshs
100,000/- na kiwango cha juu kinategemea uwezo wa mkopaji
Vigezo na mahitaji ya mkopo wa Wafanyakazi
- Muajiriwa anatakiwa awe na angalau miezi 6 tangu kuajiriwa.
- Umri wa kustaafu unatakiwa usiwe chini ya miezi 3 kabla ya tarehe ya kumaliza mkataba
wa
mkopo
- Muda wa mkopo ni kuanzia mwezi 1 mpaka miezi 6
- Lekima inaruhusu kudouble au kutoa mkopo juu ya mkopo kwa kuzingatia vigezo na
masharti
- Kiasi cha mkopo kinaanzia sh 100,000 – hamna kikomo, kiasi kitakua kutokana na uwezo
wa
mkopaji.
- Viambatisho vinavyohitajika ni kitambulisho cha kazi, taifa, barua ya kuthibitishwa
kazini/ajira
stakabadhi
ya miezi miwili ya malipo ya mshahara ya hivi karibuni na picha/passport size 2