Mkopo wetu wa Wajasiriamali unalenga Wajasiriamali wadogowadogo na wa kati. Kiasi cha mkopo
kinaanzia Tshs
100,000/- mpaka Tshs 5,000,000/- kutegemeana na mapato na mzunguko wa biashara yako. Afisa mkopo
atakutembelea na kufanya tathmini ya bishara yako na kushauriana dhidi ya kiwango unachohitaji.
Vigezo na mahitaji ya mkopo wa Wajasiriamali:
- Nakala ya kitambulisho cha kura,Taifa,hati ya kusafiria au leseni ya gari ya
mkopaji
- Nakala ya kitambulisho cha kura,taifa,hati ya kusafiria au leseni ya gari ya mkopaji,
mtoa
ridhaa na mdhamini mmoja
- Picha mbili za passport size za rangi -Wadhamini
- Barua ya utambulisho/uthibitisho wa makaazi kutoka serikali za mitaa
- Maekekezo mengine utakayopewa